• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YATOA MAFUNZO MAALUM YA UTAMBUZI NA UANDIKISHAJI WA KAYA MASKINI

Posted on: February 16th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Nzega imetoa mafunzo maalum ya utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini kwa wawezeshaji ngazi ya halmashauri, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maboresho ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia TASAF.

Mafunzo hayo yametolewa na wawezeshaji kutoka TASAF Makao Makuu kwa lengo la kuwajengea uwezo wawezeshaji wa halmashauri katika kusimamia kikamilifu zoezi la utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini chini ya Reforms Measure Namba 4 inayotekelezwa na Serikali kupitia TASAF.

Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Dkt. Christopher Semanyanza alisisitiza umuhimu wa uwazi, uadilifu na uzingatiaji wa miongozo wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo ili kuhakikisha linafanyika kwa haki na bila ubaguzi wa aina yoyote.

Katika kuimarisha maadili ya utumishi wa umma, washiriki wa mafunzo hayo waliapa kiapo cha maadili kilichoongozwa na Mwanasheria wa Serikali Wilaya ya Nzega, Bw. Patrick Muhere, wakiahidi kutekeleza majukumu yao kwa uaminifu na weledi wa hali ya juu.

Kwa upande wake, Mratibu wa TASAF Wilaya ya Nzega, Bi. Jovita Patrick amesema lengo la maboresho hayo ni kupanua masijala ya walengwa ili kuhakikisha kaya maskini pamoja na kaya zilizo katika hatari ya kuingia kwenye umasikini zinatambuliwa mapema na kujumuishwa kwenye mpango madhubuti wa msaada.

Amesema kanzidata hiyo itaiwezesha Serikali kuwafikia walengwa kwa haraka na kwa ufanisi pindi majanga au changamoto zitakapojitokeza.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA WAKUSANYA MAPATO (REVENUE COLLECTORS) January 26, 2026
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KATIBU WA NEC ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    February 16, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YATOA MAFUNZO MAALUM YA UTAMBUZI NA UANDIKISHAJI WA KAYA MASKINI

    February 16, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAPITISHA MPANGO NA BAJETI YA TSHS. 50.9 BILIONI KWA MWAKA 2026/2027

    February 14, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAANZA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KWA KAYA WANUFAIKA WA TASAF

    February 11, 2026
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa