• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

Maji

Idara ya Maji katika Halmashauri ni idara inayosimamia utoaji wa huduma ya Maji vijijini ikiwa ni pamoja na kusimamia utekelezaji wa sera na sheria zote zinazohusiana na Maji kwa ujumla. Utekelezaji wa miradi ya Maji hufanyika kutokana na mpango na bajeti iliyopitishwa kwa mwaka husika. Pia matengenezo madogo madogo kwa miradi iliyopo hufanyika kulingana na maombi au taarifa zinazowasilishwa kutoka maeneo husika pindi miradi hiyo inapoharibika.

TAKWIMU ZA MIRADI YA MAJI ILIYOPO VIJIJINI

1.Miradi ya Maji ya bomba ni 14, Inayofanya kazi ni 10 isiyofanya kazi ni 4

  1. Miradi ya Maji ya Visima virefu ni 162,Vinavyofanya kazi ni 128 na visivyofanya kazi ni 34
  2. Miradi ya Maji ya Visima vifupi ni 297, Vinavyofanya kazi ni 208 na visivyofanya kazi ni 89.

MALENGO YA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

1.Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya maji.

2.Kufanya matengenezo ya vifaa vya ofisi na kugharamia mahitaji mbalimbali ya ofisi.

3.Kutoa mafunzo kwa watumiaji maji juu ya uendeshaji wa Miradi ya maji.

4.Kuwajengea uelewa jamii kuhusu uhifadhi wa mazingira yanayowazunguka na kuwa navyoo bora kwenye kaya zao.

5.Kugharamia shughuli za ushauri (Consultancy) kwa miradi yamaji.

6.Ujenzi wa miradi 2 ya maji katika vijiji vya Upungu na Sigili.

7.Kufanya matengenezo ya magari 2 na pikipiki 2 za Idara ya maji.

 

MIRADI INAYOTEKELEZWA

1.MIRADI YA TEKELEZA SASA KWA MATOKEO MAKUBWA (BRN)

Miradi ya Maji inayotekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega kupitia Idara ya Maji vijijini hadi sasa ni Miradi ya maji ya bomba katika vijiji vya Ngukumo, Mwambaha, Bukene na Sojo.

2.MIRADI YA WAFADHILI

Serikali ya Japan kupitia shirika la maendeleo (JICA) kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji na Umwagiliaji wanatekeleza miradi ya maji ya visima virefu 44 na mradi wa maji ya bomba 1 unaohudumia kijiji cha Isanga.

3.MRADI WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA.

Utekelezaji wa Mradi wa Ziwa Victoria unategemea kuvinufaisha jumla ya vijiji 28 vya Usagari, Isunha, Upungu, Busondo, Nkiniziwa, Ngukumo, Mwambaha, Mwanhala, Utwigu, Itilima, Kipugala, Iboja, Ilagaja, Isanga, Mwaluzwilo, Kabale, Kanolo, Nata, Kilabili, Mwabangu, Chamipulu, Mbagwa, Mwakashanhala, Magengati, Inagana, Uhemeli, Iyombo na Kampala.

kazi zilizofanyika katika ngazi ya Halmashauri ni pamoja na kubainisha njia ya bomba kwenye vijiji vinavyopitiwa na mradi, kubaini na kuhaminisha nyumba na mashamba yatakayoathiriwa na mradi. Pia kazi ya uhamasishaji kupitia mikutano na wadau kuhusu kuachia mashamba kwa ajili ya kupitisha miundombinu ya maji bila fidia.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI December 18, 2020
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    October 08, 2024
  • KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAMPONGEZA MKURUGENZI KWA USIMAMIZI WA MIRADI

    September 05, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa