• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MITI ZAIDI YA ELFU MOJA YAPANDWA

Posted on: January 5th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya nzega ameongoza zoezi la kupanda miti zaidi ya 1000 katika maeneo yake ya utawala ikiwa ni katika eneo la barabara kuu iendayo Tabora mpaka Ndala na kisha kufanya bonanza lilifanyika katika Shule ya Sekondari Kampala,zoezi  hilo limefanyika siku ya Jumamosi tarehe 04.01.2020.

Akiongea katika sherehe ya kukaribisha Mwaka 2020 ziliyofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Wilaya uliopo Nzega amewataka watumishi kuchapa kazi lakini pia kufanya maandalizi ya familia zao wangali bado na nguvu. pamoja na kufanya kazi Ndala mkurugenzi amesisitiza kuwa bado aseti zilizopo Nzega ni za halmashauri ya wilaya na tunaweza kuzitumia kwa namna yeyote.

Aliwataka watumishi kupiga hatua zaidi ikiwa ni pamoja na kumtaka afisa utumishi kuanzisha saccos kwani zina msaada mkubwa kwa watumishi,alitoa mfano kwa shule ya mojawapo Ndala ifugayo samaki jinsi ilivyofanikiwa katika ufugaji wa Samaki hasa katika zoezi la ujazaji maji katika kisima cha kufugia ambalo huchukua muda mfupi kwa kuwatumia wanafunzi, alisema tujifunze kupitia umoja huo na zoezi hilo la ujazaji maji kwa muda mfupi ili tuwe na sccos yetu, aliendelea kuwa watumishi wengi hunyanyasika sana kwenye kukopa saccos ikiwa ni pamoja na kufirisiwa. tukiwa na saccos italeta umoja .

 Aidha aliwataka watumishi kupendana kwani haitatokea mtu mwingine kuja kuwapenda wao, pendaneni, mtu akipata tatizo lichukue na kulifanya lako, ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri.

 Mkurugenzi alisisitiza kufanya mazoezi kwa watumishi kwani asilimia kuwa ya watumishi hawafanyi mazoezi, ili kujilinda na magonjwa yasiyoambukiza kama Kisukari, watumishi hawana budi kufanya mazoezi. Tafiti zinaonesha kuwa watumishi wengi wanapatikana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa sababu ya kuwa na muda mwingi ofisini ,kazi zisije tuua hivyo anawataka afisa michezo na mganga mkuu kuweka program za mwaka huu kuhakikisha kuwa tunakuwa na mazoezi.

Mkurugenzi aliwasisitiza watumishi kutoogopa kufika ofisini kwake kwa lolote iwe ni mtu mmoja ama kikundi. aliwakaribisha kutoa changamoto zao ofisini mwake.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI NZEGA DC December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 TOKA NZEGA DC WAVULANA NA WASICHANA December 18, 2020
  • FOMU YA MAOMBI YA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA KATIKA MAENEO YA NATA, ITOBO, BUKENE NA NDALA July 12, 2019
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MITI ZAIDI YA ELFU MOJA YAPANDWA

    January 05, 2020
  • MHE. AGGREY MWANRI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMKAMATA AFISA AMCOS NZEGA DC

    December 23, 2019
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Akabidhi Mikopo yenye Thamani ya Shilingi 84,000,000

    February 18, 2019
  • karibuni kuwekeza Nzega DC katika Ranchi, Wanyama na Mazao

    November 23, 2018
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Mtaa wa Umbi)

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0784364828

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa