• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

MAZINGIRA MAZURI NDIYO YATAKAYOPELEKEA WATUMISHI KUBAKI

Posted on: October 18th, 2018

Uwekaji wa mipango mizuri na inayotekelezeka ndiyo itakayopelekea kuinua kiwango cha elimu katika mkoa wa Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Agrey Mwanri aliwasisitiza viongozi wote katika Mkoa wake kuwa mazingira mazuri ya kufanyia kazi hasa kwa watumishi yatasaidia na kupelekea kuinua kiwango cha Elimu katika mkoa wa Tabora. Aliyasema hayo mara alipokuwa akifungua kikao kazi kwa walimu wakuu,wakuu wa shule na maafisa elimu kata wa halmashauri ya wilaya na Mji jana katika ukumbi wa chuo cha maendeleo Uchama.

Wakati mwingine walimu wamehamishwa kutoka eneo A kwenda eneo B lakini wasilipwe eti kwa sababu maeneo hayo hayana umbali wowote. Inakuhusu nini kama ni haki yake mtumishi huyo? Alisema mkuu wa Mkoa. Na kama hakuna fedha taarifa ama elimu itolewe kwa watumishi kuwa uhamisho utafanyika na namna ya malipo itakavyolipwa. Hizo ndizo motisha kwa walimu kwani Serikali haiwezi kugawa fedha kwa kila mtumishi anayefanya kazi vema.

Akiongea katika kikao hicho mkuu wa mkoa alisisitiza kuwa haiwezekani yeye kuongoza mkoa mkubwa lakini wenye mambo ya ovyo, kama mkoa kuwa na watoto wasiohudhuria shule (utoro), mimba za utotoni na kuwa na matokeo yasiyoridhisha kwa upande wa elimu.

Alisema ‘’Watu wanapenda ujisikie kuwa huna akili ili wakutawale sawa na watu wenye fedha na matajiri wanaweza kusema maneno ya hovyo pasipo kujali kama duniani kuna binadamu. Watu wote duniani wana akili’’  akiendelea kusema mkuu wa mkoa alitoa mfano kuwa bibi kizee anaweza kupata shahada lakini baada ya miaka thelathini. Alisisitiza kuwa ili tuweze kuwa na mafanikio lazima tufanye kazi kwa muda wa ziada, ‘’ndiyo tunaweza” kwa mwanzo huu na ufaulu uliooneshwa kwa miaka hii ya karibuni  kutoka mkoa wa mwisho na kufikia kuwa wa tatu kitaifa kwa matokeo ya kidato cha nne na matokeo ya darasa la nne tukaongoza.

Uanzishwaji wa shule katika maeneo ya hifadhi na yasiyo stahili na pasipokupata kibali toka kwa mkurugenzi, shule ‘’kanjanja’’zimeanzishwa kwa wingi na kupelekea wanafunzi wengi kumaliza darasa la saba pasipo kujua kusoma na kuandika. Shule hizo huanzishwa na wazazi na walimu wake hutoka miongoni mwa jamii husika na pasipo kupata mafunzo yoyote hivyo basi mkuu wa mkoa alimwagiza katibu tawala wa mkoa na mkuu wa wilaya ya Nzega kuwa ikiwa shule iliyojengwa katika maeneo yasiyo na sifa basi na ifutiliwe mbali.

Akizungumza juu ya motisha kwa watumishi Mhe. Agrey Mwanri alisema kuwa wapo walimu wanatumia muda wa ziada kuwaandaa watoto mpaka saa nne za usiku na wanafahamika  hao ndiyo wa kuwapa vyeo.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI December 18, 2020
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    October 08, 2024
  • KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAMPONGEZA MKURUGENZI KWA USIMAMIZI WA MIRADI

    September 05, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa