• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

UNDENI KAMATI ZA MAZINGIRA KWA KUZINGATIA JINSIA

Posted on: October 31st, 2018




Kila Kijiji Kiunde Kamati ya Mazingira Kwa Kuzingatia Jinsia







 
 
 
 

w





W


aziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira Mhe. Januari makamba aliagiza kuwa kila kijiji kiunde kamati za mazingira,jinsia ikizingatiwa. Aliyasema hayo alipokuwa akitembelea kijiji cha Mwambaha na Ngukumo kujionea hali halisi ya maeneo ya hifadhi ya misitu iliyopo katika vijiji hivyo  hivi karibuni.

Aidha Mhe. Waziri aliagiza kuwa shule zote za sekondari  na msingi ziunde club za mazingira, pia aliagiza kuwa kuanzia ngazi ya kitongoji  hadi kata kuwepo na  Afisa Mazingira.

Hata hivyo alimtaka mkurugenzi wa Halmashauri akishirikiana na NEMC- National Environment menegement  Council,TFS Tanzania Forest Service  kuhakikisha wanakutana na kuona njia sahihi ya kuwekeza katika misitu mwingine kwa mujibu wa sheria No 20 ya mwaka 2004 sheria ya mazingira huku serikali ikijaribu kutafuta njia ya kuuchukua msitu huo na kuuhifadhi  kwa niaba ya wananchi wa vijiji hivyo viwili. Mhe. Makamba aliseme “tusiwaogope kwa kusema kuwa ni wakali, kwenye Dunia hii hajazaliwa  mwanaume mkali kuliko Serikali ,serikali  ndiyo yenye mabavu yote” aliongeza kuwa jiji la Dar-es-salaam linatumia asilimia 60 ya mkaa wote unaochomwa hapa nchini na jiji lenye kuwa na umeme na gesi kwa kwa matumizi ya nyumbani lakini wananchi wa Ngukumo wanabaki maskini na kutofaidika nao.

Pamoja na hayo Mheshimiwa Makamba aliwataka wananchi wa vijiji vya Nkukumo na Mwambaha kuhakikisha wanazuia ukataji wa miti na uchomaji wa mkaa ambao leo umesababisha maeneo mengi ya Wilaya ya Nzega kuwa jangwa,kukosa mvua za uhakika na maji kwa ajili ya mifugo yao.

Mheshimiwa Januari Makamba  Mbunge wa jimbo la Bumbuli Lushoto Tanga alichangia kiasi cha shilingi  Milioni moja kwa ajili ya ukamilishaji wa Zahanati ya Mwambaha  na  vyoo vya Matundu 3 katika shule ya msingi Mwambaha.






MHE. Waziri alipanda miti miwili  katika kijiji cha   mwambaha  na shule ya Msingi Mwambaha. Kijiji cha mwambaha kina hekta 23 na  kijiji cha Ngukumo kina hekta 18 za msitu wa Hifadhi. 

Mheshimiwa Waziri alikamilisha ziara yake  mchana na kisha kuendelea na ziara yake mkoani Geita.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI December 18, 2020
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    October 08, 2024
  • KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAMPONGEZA MKURUGENZI KWA USIMAMIZI WA MIRADI

    September 05, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa