• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Posted on: January 14th, 2026

Timu ya wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, mapema leo imefanya ziara ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali za Mitaa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Nzega kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Ziara hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu ya Sekretarieti ya Mkoa katika kufuatilia na kutathmini miradi ya maendeleo kila mwaka, kwa lengo la kukagua hali ya utekelezaji wa miradi na kujiridhisha na matumizi ya fedha zilizotolewa na Serikali. Kwa mujibu wa mpango huo.

Miradi inayokaguliwa inahusisha sekta mbalimbali zikiwemo Afya, Elimu, Kilimo, Maji na Miundombinu ya Barabara. Katika Sekta ya Afya, timu imekagua miradi ya ujenzi na ukarabati wa Hospitali ya Wilaya, vituo vya afya vinavyojengwa kwa mpango wa TMCHP, zahanati, ujenzi wa vyoo, vichomea taka, pamoja na miundombinu ya Placenta Pit na Ash Pit.

Kwa upande wa Sekta ya Elimu, ukaguzi umefanyika kwenye miradi ya ujenzi wa madarasa kupitia programu za GPE–TSP na SEQUIP, nyumba za walimu, mabweni, shule mpya za msingi na sekondari (SEQUIP) pamoja na utekelezaji wa mradi wa EP4R.

Timu ya ufuatiliaji imejumuisha wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora akiwemo Ramadhan Mpolanje, Mchumi; Pelagia Tiliya, Muhasibu; na Alex Mhanga, Afisa Biashara, wakishirikiana kwa karibu na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega.


Picha zinaonesha timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora na Halmashauri ya Wilaya ya Nzega wakiwa kwenye ziara ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo


Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI July 18, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Timu ya Mkoa Tabora Yakagua Miradi ya Elimu Halmashauri ya Nzega

    January 15, 2026
  • Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    January 14, 2026
  • PONGEZI

    November 04, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    October 08, 2024
  • Angalia yote

Video

Mkurugenzi Mtendaji Nzega DC Akagua Miradi ya Elimu na Afya | BOOST & Tumaini kwa Watoto
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa