• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

Timu ya Mkoa Tabora Yakagua Miradi ya Elimu Halmashauri ya Nzega

Posted on: January 15th, 2026

Timu ya wataalamu wa ufuatiliaji na tathmini kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, kwa kushirikiana na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, leo imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya elimu inayotekelezwa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Nzega.

Ukaguzi huo umefanyika katika Kata ya Nata pamoja na Shule ya Msingi Katangwa iliyopo Kata ya Mambali, ambapo timu ilikagua utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu ikiwemo madarasa, ofisi za walimu, vyoo, pamoja na majengo ya shule za awali za mfano yanayolenga kuboresha mazingira ya malezi, ufundishaji na ujifunzaji kwa watoto wa awali.

Ziara hiyo imelenga kujiridhisha na ubora wa utekelezaji wa miradi ya elimu, matumizi sahihi ya fedha za Serikali, pamoja na kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa kuzingatia thamani ya fedha (value for money) na kukamilika kwa wakati uliopangwa ili kuboresha sekta ya elimu ndani ya halmashauri.

Timu ya ukaguzi imejumuisha wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakiwemo Ramadhan Mpolanje (Mchumi), Pelagia Tiliya (Muhasibu), Alex Mhanga (Afisa Biashara) pamoja na Magesa Amos (Wakili wa Serikali), wakishirikiana kwa karibu na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega.

Halmashauri ya Wilaya ya Nzega inaendelea kutekeleza kikamilifu sera, mipango na miongozo ya Serikali katika kuboresha sekta ya elimu, huku ikitambua na kuthamini mchango wa ufuatiliaji na tathmini unaofanywa na mamlaka za juu katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa viwango vinavyokusudiwa na kuleta manufaa kwa wananchi.


Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI July 18, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MDAHALO:IPI NAFASI YA VIJANA KATIKA KUZIFIKIA FURSA ZINAZOMZUNGUKA

    January 12, 2026
  • Timu ya Mkoa Tabora Yakagua Miradi ya Elimu Halmashauri ya Nzega

    January 15, 2026
  • Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    January 14, 2026
  • PONGEZI

    November 04, 2025
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa