• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

MDAHALO:IPI NAFASI YA VIJANA KATIKA KUZIFIKIA FURSA ZINAZOMZUNGUKA

Posted on: January 12th, 2026

Kijiji cha Mwamalulu, Kata ya Nata, kimefanyika mdahalo wa vijana uliofanyika katika Shule ya Sekondari Nata, ukihusisha vijana zaidi ya 64 kutoka vijiji sita vya Kata ya Nata.

Mdahalo huo ulilenga kuwajengea vijana uelewa kuhusu nafasi na fursa mbalimbali zinazowazunguka, umuhimu wa uzalendo, umoja na amani, pamoja na kuwahamasisha kutumia fursa hizo kwa maendeleo binafsi na ya jamii kwa ujumla.

Akitoa mada katika mdahalo huo, Mtendaji wa Kata ya Nata, Fundi Kasim, alisisitiza umuhimu wa uzalendo, vijana kujitambua na kuzitambua fursa zinazowazunguka, pamoja na kuthamini na kulinda amani ya taifa letu. Alieleza kuwa endapo kijana atakutana na changamoto au mkwamo wowote, anapaswa kufuata njia sahihi ili changamoto hizo ziweze kutatuliwa badala ya kukata tamaa.

Kwa upande wake, Afisa wa Benki ya CRDB, Gloria Makweta, alielezea namna vijana wanavyoweza kujenga mahusiano na benki hiyo ili kufikia fursa mbalimbali za kifedha. Alibainisha fursa za mikopo ya pikipiki kwa vijana pamoja na mikopo ya vikundi kama njia ya kuwawezesha vijana kiuchumi.

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, Margwe Tsere, alisisitiza umuhimu wa vijana kuungana, kuunda na kusajili vikundi, akibainisha kuwa umoja una faida kubwa sana. Aliwahamasisha vijana kuchangamkia mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri, ambayo ni nafuu na haina riba, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kiuchumi.

Aidha, Afisa Maendeleo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, Peter Mashimba, aliwataka vijana kuwa waaminifu, kufanya kazi kwa moyo na kwa weledi. Alisisitiza kuwa kijana asiye mwaminifu hujiweka mbali na fursa nyingi zilizopo. Aliongeza kuwa badala ya vijana kuelekeza lawama kwa serikali kwa madai ya kutowajali au kutowasikiliza, wanapaswa kutambua kuwa fursa zipo nyingi na zinahitaji juhudi, nidhamu na uadilifu kuzifikia.

Zaidi ya vijana 64 kutoka vijiji vya Kabale, Kanolo, Nata, Mwamalulu, Mwabangu na Kilabili, walipata nafasi ya kueleza changamoto zao, kutoa maoni pamoja na kuomba serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Vijana kuendelea kuwapatia msaada na kuwaangalia vijana wa maeneo ya vijijini.

Mdahalo huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, akiwemo Emmy Ndolingo, Afisa Maendeleo wa Kata ya Nata; Shukuru Mbula, Mtendaji wa Kijiji cha Mwabangu; Mariam Zahoro, Afisa Afya wa Kata ya Nata; Gaudensia J. Tawa, Afisa Mtendaji wa Kata ya Nata; Witness D. Lembalai, Afisa Misitu wa Kata ya Kilabili; Maryciana D. Antony, Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kabale pamoja na Kashindye Kamil, Afisa wa Benki ya CRDB.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI July 18, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MDAHALO:IPI NAFASI YA VIJANA KATIKA KUZIFIKIA FURSA ZINAZOMZUNGUKA

    January 12, 2026
  • Timu ya Mkoa Tabora Yakagua Miradi ya Elimu Halmashauri ya Nzega

    January 15, 2026
  • Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    January 14, 2026
  • PONGEZI

    November 04, 2025
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa