• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

MADIWANI NZEGA WAPATA ELIMU YA MIRADI SHIRIKISHI, MIPANGO NA BAJETI

Posted on: January 20th, 2026

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Nzega na Halmashauri ya Wilaya ya Nzega wameendelea na siku ya pili ya mafunzo ya kuwajengea uwezo, wakipata elimu kuhusu dhana ya miradi shirikishi pamoja na mchakato wa mipango na bajeti, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuzingatia mahitaji ya wananchi.

Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega uliopo eneo la Ipazi na yamelenga kuwawezesha Madiwani kuelewa umuhimu wa ushirikishwaji wa wadau katika kubuni na kutekeleza miradi ya maendeleo, jambo linalosaidia kuharakisha utekelezaji wa miradi na kuongeza uwajibikaji.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, mwezeshaji wa mada alieleza kuwa faida za ushirikishwaji katika miradi ya maendeleo ni pamoja na kuongeza umiliki wa miradi kwa wananchi, kupunguza changamoto wakati wa utekelezaji na kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati uliopangwa.

Katika mada ya mipango na bajeti, Madiwani walielezwa kuwa dhana hiyo inaeleza mchakato wa kutambua malengo ya maendeleo, kubainisha miradi ya maendeleo na kuweka vipaumbele kulingana na mahitaji halisi ya jamii, ili rasilimali zilizopo zitumike kwa tija na kuleta matokeo yanayotarajiwa.

Aidha, Madiwani walihamasishwa kutumia maarifa waliyojifunza kuimarisha usimamizi wa miradi katika maeneo yao, kushirikiana na wananchi katika hatua zote za utekelezaji na kuhakikisha miradi inaendana na mipango ya maendeleo ya Halmashauri.

Mafunzo hayo ya siku tatu yanatarajiwa kuhitimishwa rasmi tarehe 21 Januari, 2026, huku yakilenga kuongeza ufanisi wa Madiwani katika kusimamia maendeleo na utoaji wa huduma bora kwa wananchi wa Nzega.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI July 18, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MADIWANI NZEGA WAPATA ELIMU YA MIRADI SHIRIKISHI, MIPANGO NA BAJETI

    January 20, 2026
  • MADIWANI NZEGA WAHIMIZWA KUTUMIA MAFUNZO KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO

    January 19, 2026
  • MDAHALO:IPI NAFASI YA VIJANA KATIKA KUZIFIKIA FURSA ZINAZOMZUNGUKA

    January 12, 2026
  • Timu ya Mkoa Tabora Yakagua Miradi ya Elimu Halmashauri ya Nzega

    January 15, 2026
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa