• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS TAMISEMI HAJARIDHISHWA NA UFAULU WA WANAFUNZI WALIOHITIMU DARASA LA SABA MWAKA 2021.

Posted on: December 19th, 2021


‘Kuna changamoto kubwa tumeiona Watoto wetu Nzega vijijini hawafanyi vizuri katika kumaliza elimu ya msingi” Waziri wan chi ofisi ya Rais Tamisemi  Mhe. Ummy Mwalimu ameyasema hayo alipokuwa akipokea taarifa toka kwa  mkuu wa wilaya ya nzega jana ambayo katika ukumbi wa Jengo la Makao  Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Zamani. Alisema kuwa ufaulu wa Watoto umeonekana kwamba kila Watoto 100 watoto 44 hawafaulu mitihani ,hivyo hili ni changamoto, kwani kitaifa kati ya Watoto 100 watoto 80 wanafaulu mitihani.  Mhe. Ummy Mwalimu amesema kwamba uwiano wa walimu na wanafunzi sim baya ukilinganisha na maeneo mengine ambayo mwalimu mmoja huwa na wanafunzi 200 na kuendelea wakati Nzega mwalimu mmoja anafundisha Watoto 76 , uwiano huu si      mbaya.

Mheshimiwa Waziri alipojaribu kutaka kujua tatizo n inini kinachofanya Watoto kutofaulu vizuri, Afisa  Elimu Shule za Msingi ndugu Sistaimelida alijibu kuwa ni kutokana na mwamko duni wa elimu kwa  wazazi na wakati mwingine huzuiwa na wazazi kwenda shule au kufanya mitihani.

Kwa changamoto hiyo Waziri aliagiza kwa mkuu wa Mkoa wa Tabora ahakikishe anachukua hatua kali kwa Watoto wote wafanyao utoro yeye,wazazi na walezi wake na wasiruhusu na kuwachekea wazazi wa Watoto watoro katika mkoa wa Tabora.

Aidha Waziri amehimiza uandikishaji wa Watoto wote awali na darasa la kwanza kwani mpaka sasa wameandikishwa Watoto 19/100. Wahimizeni watendaji na viongozi wote kuhakikisha wanafuatilia na kuhimiza uandikishaji kwenye maeneo yao. Pia Waziri ameimtaka Mkurugenzi kupitisha matangazo ili kuhimiza uandikishaji mashuleni.

Kwa shule za msingi Waziri ameona kuwa kuna uhaba mkubwa wa madarasa hivyo serikali italifanyia kazi.

Amemtaka mkurugenzi kuhakikisha KUWA  kusiwepo vikwazo kwa wanafunzimwote wanaoanza masomo yao ,wasizuiliwe kuanza masomo kwasababu ya ukosefu wa nguo za shule.wazazi hao wapewe muda kama majuma kadhaa ama mwezi na sikwa wanafunzi wote bali waanzao masomo.

Pia Waziri ameagiza kuwa tamisemi iangalie uwiano wa walimu wa masomo ya Sayansi kwa shule za Sayansi kama kuna changamoto basi tuweze kuwasaidia.

Akipokea maelekezo ya Mhe. Waziri Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt Batlida Buriani amemtaka mkurugenzi wa halmashauri kuhakikisha anapitisha matangazo kila sehemukuwataka Watoto wote ambao hawajajiandikisha wakafanye hivo, kufikia tarehe 31/12/ tutaanza msako, Hii ni aibu kwa mkuu wa mkoa mwenye PhD na Mbunge wa Jimbo Mwenye PhD kutofanya vizuri kwani hii ni aibu.

Pamoja na hayo yote Mhe. Waziri ameitaka Halmashauri kuongeza bidi z kusanyaji mapato kwani mpaka kufikia mwezi Novemba ukusanyaji umefikia asilimia 44%. Mko chini sana.

Kuhusu ujenzi wa Halmashauri Waziri amesema atatuma wataalamu wake wa uendelezaji mji wafanye topographiko survey ya jiombo lote la nzega vijiji ili yeye kama Waziri afanya maamuzi kama Waziri. Aidha atamshauri mwenye mamalaka afanye maamuzi kuipeleka mojawapo ya majimbo haya mawili kulipeleka mjini. Kufikia tarehe 30/02/2022 atakuwa ametoa majibu. Maamuzi hayo yatazingatia upatikanaji wa huduma kwa wananchi kwa urahizi.

Mheshimiwa Waziri alikagua mradi wa ujenzi wa madarasa matatu(3)shule ya Sekondari Kampala ambayo tayari ilikuwa imekamilika kwa kutumia kiasi cha Tsh Mil33.2 mpaka kukamilika. Alimpongeza Mkuu wa Shule  kwa ukamilishaji wa mradi huo,aidha amemshukuru Afisa Elimu Kata ya Ndala kwa usimamizi mzuri wa ufaulu na uandikishaji.

Isidori Mayagilo

ICTO-NzegaDC


Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • MAJINA YA MAKARANI WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA NZEGA VIJIJINI December 18, 2020
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI DARAJA LA III July 08, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA

    October 08, 2024
  • KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAMPONGEZA MKURUGENZI KWA USIMAMIZI WA MIRADI

    September 05, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • UBORESHAJI WA LISHE UWE NA MATOKEO CHANYA YA KIELEIMU

    February 07, 2024
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa