• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAFANYA KIKAO MAALUMU CHA KUJADILI MASUALA YA KIUTENDAJI NA MAENDELEO

Posted on: January 29th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imefanya kikao maalumu kilicholenga kujadili na kupanga mikakati ya utekelezaji wa masuala mbalimbali ya kiutendaji na maendeleo kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Kikao hicho kimeongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, Bw. Mwarami Seif, na kuhudhuriwa na wakuu wa divisheni na idara mbalimbali za halmashauri, pamoja na Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Watendaji wa Vijiji kutoka maeneo yote ya wilaya.

Katika kikao hicho, wajumbe walijadili ajenda kuu mbalimbali ikiwemo kujifunza na kujisajili katika mfumo wa TAUSI unaotumika katika ukusanyaji wa kodi ya majengo kwa mamlaka za wilaya, hatua inayolenga kuongeza ufanisi na uwazi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani. Aidha, kikao kilijadili suala la uhuishaji wa rejesta za wakazi ili kupata takwimu sahihi zitakazosaidia katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo.

Masuala mengine muhimu yaliyojadiliwa ni pamoja na utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, ili kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata huduma bora za afya, pamoja na utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kama sehemu ya kuwawezesha kiuchumi.

Vilevile, kikao hicho kiligusia masuala ya kiutumishi yakiwemo nidhamu kazini, uwajibikaji wa watendaji katika ngazi zote, pamoja na mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma.

Halmashauri ya Wilaya ya Nzega inaendelea kudumisha ushirikiano mzuri kati ya viongozi na watumishi wake kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi na kuhakikisha sera, mipango na miongozo ya Serikali inatekelezwa ipasavyo kwa manufaa ya wananchi wa Wilaya ya Nzega.


MATUKIO KATIKA PICHA


Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA WAKUSANYA MAPATO (REVENUE COLLECTORS) January 26, 2026
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • Angalia yote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAFANYA KIKAO MAALUMU CHA KUJADILI MASUALA YA KIUTENDAJI NA MAENDELEO

    January 29, 2026
  • MKUU WA WILAYA YA NZEGA AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA KWA VITENDO: ATEMBELEA SHULE, ATOA ZAWADI, ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIUKA HAKI YA ELIMU NA KUONGOZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

    January 27, 2026
  • WAHESHIMIWA MADIWANI NZEGA WAHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI KWA KUSISITIZWA TEHAMA NA MAADILI

    January 21, 2026
  • MADIWANI NZEGA WAPATA ELIMU YA MIRADI SHIRIKISHI, MIPANGO NA BAJETI

    January 20, 2026
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa