• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
      • Elimu Msingi Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi
      • Sekondari Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • Kuweka Rangi
      • Afya Picha Kovid 19
        • Boma
        • kupaua
        • uwekaji wa rangi

Tabora Tuna Kila Kitu Kufaa Kuwekeza-Mhe. DK. HALSON MWAKEMBE

Posted on: November 23rd, 2018

Waziri waHabari na Michezo amesema kuwa Mkoa wa Tabora una kila kitu kufaa kuwekeza, aliyasema hayo leo katika kongamano alipokuwa akihitimisha kongamano  la fursa za uwekezaji katika Mkoa wa Tabora  ukumbi wa Isike -Mwanakayungi ulipo Ofisi za Mkoa Tabora. Katika majumuisho hayo DKT. Halson Mwakembe alishukuru wajumbe wote katika kongamano hilo kwa ushiriki wao na kwa michango yao katika kongamano hilo. Aidha Waziri Mwakembe alimshukuru sana Joseph Simbakalia ambaye ni Mkurugenzi wa EPZA  Mtaalamu wa Viwanda  kwa elimu yake ya aliyoitoa jana ambayo ilijikita sana katika kujua dhan ya kujenga uchumi na Utayari wetu kama mkoa kuzingatia mambo matano ambayo ndiyo wawekezaji wanayahitaji. mambo hayo aliyataja kuwa ni :-

1. Ardhi na Barabara

2. Umeme wa uhakika

3. Wafanyakazi wenye stadi

4.Miundombinu ya usafirishaji

na Vivutio vya uwekezaji.

Mambo hayo kama tutayazingatia ni hakika tutapiga hatua kusonga mbele. ili kufikia hatua hizo Mhe. Waziri alisema ni vema kuachana na urasimu katika utaji wa viwanja na maeneo kwa wawekezaji.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2025/DARASA LA SABA-MKOA WA TABORA November 05, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA WAKUSANYA MAPATO (REVENUE COLLECTORS) January 26, 2026
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI JIMBO LA BUKENE NA NZEGA VIJIJINI October 11, 2025
  • TANGAZO-WAMILIKI WA MAGARI September 30, 2025
  • Angalia yote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAFANYA KIKAO MAALUMU CHA KUJADILI MASUALA YA KIUTENDAJI NA MAENDELEO

    January 29, 2026
  • MKUU WA WILAYA YA NZEGA AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA KWA VITENDO: ATEMBELEA SHULE, ATOA ZAWADI, ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIUKA HAKI YA ELIMU NA KUONGOZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

    January 27, 2026
  • WAHESHIMIWA MADIWANI NZEGA WAHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI KWA KUSISITIZWA TEHAMA NA MAADILI

    January 21, 2026
  • MADIWANI NZEGA WAPATA ELIMU YA MIRADI SHIRIKISHI, MIPANGO NA BAJETI

    January 20, 2026
  • Angalia yote

Video

UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAENDELEA KWA KASI
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0765600994

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa