Elimu Sekondari inazo Shule ........Afisa Elimu wa Idara hii ni Mr. .............
	
| Idara ya Elimu Sekondari imetekeleza miradi yenye thamani ya kiasi cha TShs. 269,294,637.29
				 Miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Idara ya Elimu Sekondari kwa mwaka 2017/2018  | 
		||||||
| NA.
				 | 
			JINA LA SHULE
				 | 
			KIASI CHA  FEDHA  KILICHOTOLEWA  AWAMU YA KWANZA
				 | 
			KIASI CHA  FEDHA  KILICHOTOLEWA  AWAMU YA PILI
				 | 
			AINA YA JENGO
				 | 
			KAZI INAYOFANYIKA
				 | 
			HATUA ILIYOFIKIWA
				 | 
		
| 
				 1  | 
			MWAMALA
				 | 
			4,000,000
				 | 
			3,000,000
				 | 
			Matundu 4 ya vyoo vya wanafunzi
				 | 
			Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi umekamilika
				 | 
		
| 
				 2  | 
			MIRAMBO ITOBO
				 | 
			2,000,000
				 | 
			200,000
				 | 
			Matundu 2 ya vyoo vya Walimu
				 | 
			Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi umekamilika
				 | 
		
| 
				 3  | 
			ISAGENHE
				 | 
			2,000,000
				 | 
			540,000
				 | 
			 Matundu 2 ya vyoo vya Walimu
				 | 
			Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi umekamilika
				 | 
		
| 
				 4  | 
			BUKENE
				 | 
			4,200,000
				 | 
			2,828,900
				 | 
			Vyumba 2 vya madarasa
				 | 
			Upauaji wa vyumba 2 vyamadarasa
				 | 
			Upauaji haujakamilika
				 | 
		
| 
				 5  | 
			MWANGOYE
				 | 
			13,000,000
				 | 
			11,000,000
				 | 
			Ukamilishaji wa vyumba 2 vya maabara na chumba 1 cha darasa
				 | 
			Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Hatua ya ukamilishaji
				 | 
		
| 
				 6  | 
			HAMZA AZIZI ALLY
				 | 
			44,000,000
				 | 
			520,000
				 | 
			Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa, Ofisi ya walimu na matundu 4 ya vyoo
				 | 
			Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi umekamilika
				 | 
		
| 
				 7  | 
			HAMZA AZIZI ALLY
				 | 
			141,600,000
				 | 
			0
				 | 
			Ujenzi wa bwalo la chakula, jiko, choo, bafu na shimo la maji taka
				 | 
			Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi umekamilika
				 | 
		
| 
				 8  | 
			HAMZA AZIZI ALLY
				 | 
			26,765,737.29
				 | 
			0
				 | 
			Ujenzi wa Maktaba
				 | 
			Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi haujaanza
				 | 
		
| 
				 9  | 
			HAMZA AZIZI ALLY
				 | 
			10,000,000
				 | 
			0
				 | 
			Ujenzi wa bweni
				 | 
			Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
				 | 
			Ujenzi uko hatua ya msingi
				 | 
		
| 
				 | 
			
				 | 
			
				 | 
		||||
| 
				 10  | 
			HAMZA AZIZI ALLY
				 | 
			3,640,000
				 | 
			0
				 | 
			Utengenezaji wa viti na meza 70
				 | 
			Kutengeneza viti na meza 70 kwa ajili ya kidato cha 5.
				 | 
			Vimekamilika
				 | 
		
| 
				 JUMLA NDOGO  | 
			251,205,737.29
				 | 
			18,088,900
				 | 
			 
				 | 
			 
				 | 
			 
				 | 
		|
| 
				 JUMLA KUU  | 
			269,294,637.29
				 | 
			 
				 | 
			 
				 | 
			 
				 | 
		||
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )
Anuani ya Posta: S.L.P 4
Telephone: 026 2692349
Simu ya Kiganjani: 0765600994
Barua pepe: md@nzegadc.go.tz
Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa