Elimu Sekondari inazo Shule ........Afisa Elimu wa Idara hii ni Mr. .............
| Idara ya Elimu Sekondari imetekeleza miradi yenye thamani ya kiasi cha TShs. 269,294,637.29
Miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Idara ya Elimu Sekondari kwa mwaka 2017/2018 |
||||||
| NA.
|
JINA LA SHULE
|
KIASI CHA FEDHA KILICHOTOLEWA AWAMU YA KWANZA
|
KIASI CHA FEDHA KILICHOTOLEWA AWAMU YA PILI
|
AINA YA JENGO
|
KAZI INAYOFANYIKA
|
HATUA ILIYOFIKIWA
|
|
1 |
MWAMALA
|
4,000,000
|
3,000,000
|
Matundu 4 ya vyoo vya wanafunzi
|
Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi umekamilika
|
|
2 |
MIRAMBO ITOBO
|
2,000,000
|
200,000
|
Matundu 2 ya vyoo vya Walimu
|
Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi umekamilika
|
|
3 |
ISAGENHE
|
2,000,000
|
540,000
|
Matundu 2 ya vyoo vya Walimu
|
Kujenga, kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi umekamilika
|
|
4 |
BUKENE
|
4,200,000
|
2,828,900
|
Vyumba 2 vya madarasa
|
Upauaji wa vyumba 2 vyamadarasa
|
Upauaji haujakamilika
|
|
5 |
MWANGOYE
|
13,000,000
|
11,000,000
|
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya maabara na chumba 1 cha darasa
|
Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Hatua ya ukamilishaji
|
|
6 |
HAMZA AZIZI ALLY
|
44,000,000
|
520,000
|
Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa, Ofisi ya walimu na matundu 4 ya vyoo
|
Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi umekamilika
|
|
7 |
HAMZA AZIZI ALLY
|
141,600,000
|
0
|
Ujenzi wa bwalo la chakula, jiko, choo, bafu na shimo la maji taka
|
Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi umekamilika
|
|
8 |
HAMZA AZIZI ALLY
|
26,765,737.29
|
0
|
Ujenzi wa Maktaba
|
Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi haujaanza
|
|
9 |
HAMZA AZIZI ALLY
|
10,000,000
|
0
|
Ujenzi wa bweni
|
Kujenga,kupaua na kumalizia(Finishing)
|
Ujenzi uko hatua ya msingi
|
|
|
|
|
||||
|
10 |
HAMZA AZIZI ALLY
|
3,640,000
|
0
|
Utengenezaji wa viti na meza 70
|
Kutengeneza viti na meza 70 kwa ajili ya kidato cha 5.
|
Vimekamilika
|
|
JUMLA NDOGO |
251,205,737.29
|
18,088,900
|
|
|
|
|
|
JUMLA KUU |
269,294,637.29
|
|
|
|
||
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Kata ya Utwigu kijiji cha Mwambaha Lubisu )
Anuani ya Posta: S.L.P 4
Telephone: 026 2692349
Simu ya Kiganjani: 0765600994
Barua pepe: md@nzegadc.go.tz
Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa